Monday, February 10, 2014

mgomo wa wafanya biashara iringa

wafaanya biashara wamegoma kufungua maduka kwa kile  kinachodaiwa ni kulazimishwa kununua mashine za kielectronic EFDs sasa jaman hii nchi imekuwa ya migomo kila kukicha?
je maendeleo yaatafikiwa kwa namna hii kweli?

No comments:

Post a Comment